Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kusoma kwa bajeti ya wizara ya kilimo kwa mwaka wa fedha 2024/2025,Baadhi ya wakulima vijana kutoka mkoani Arusha wameelezea faida za kutumia mbegu na miche bora ili kufanya kilimo bora na chenye tija.
![](https://agrismarttv.co.tz/wp-content/uploads/2024/04/maxresdefault-1-1024x576.jpg)
Wakulima watoa maoni kuelekea kusomwa bajeti ya Wizara ya Kilimo 2024/2025
Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kusoma kwa bajeti ya wizara ya kilimo kwa mwaka wa fedha 2024/2025,Baadhi ya wakulima vijana kutoka mkoani Arusha wameelezea faida za kutumia mbegu na miche bora ili kufanya kilimo bora na chenye tija.
Shares: