Kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa mapema mwaka huu pamoja na uchaguzi mkuu mwaka 2025,wanawake waliopo kwenye sekta ya kilimo,wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika mchakato mzima wa kupata viongozi bora pamoja na wao pia kugombea nafasi mbali mbali ili kuweza kusaidia kwa urahisi kutatua changamoto wanazokutana nazo katika shughuli zao za kilimo.

Shares:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *